Sipati picha kama kuna mwanamke wa kizungu ambaye ataweza olewa na kwenda shamba  na mume wake  kupalilia mahindi kama wanawake wa kiafrika wanavyo fanaya? je ataweza kweli kupinda mgongo na kuchimba udongo kutengeneza matuta au kpalilia mahindi ?? Ntafurahi kumowana kama yupo wa namna hii.


0 comments:

Post a Comment

:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

 
Top
Blogger Template